MAMBO YAKUUNGANISHAYO NA MADHABAHU HUSIKA . (1)Jambo la kwanza;SADAKA. Sadaka ni njia mojawapo ya kuunganisha maisha yako mwenyewe na wewe mwenyewe na vizazi vyako katika madhabahu husika ndio maana Yesu alifanyika sadaka ili tuwe na mamlaka na ukuhani katika Ufalme wa Mun...
NAMNA MADHABAHU ZINAVYOWEZA KUSHIKILIA MFUMO WAKO WA MAISHA NENO :Waamuzi 6:24 “Ndipo Gideoni akamjengea Bwana madhabahu hapo, akaiita jina lake, Yehova-Shalomu; hata hivi leo iko huko katika Ofra ya Waabiezeri.” Madhabahu ni eneo ambalo linaweza kutumia na Mungu au shetan...
MADHABAHU ni mahali rasmi ambapo watu au mtu hutumia kufanya ibada kwa Mungu au mungu ambaye ndiye mwabudiwa. Kuna utofauti kati ya mungu wa herufi ndongo na Mungu huyu wa herufi kubwa ya mwanzo , huyu ni mungu wa dunia hii ambaye hakuumba mbingu na nchi ,ila Mungu wa heru...
This site was designed with Websites.co.in - Website Builder
We appreciate you contacting us. Our support will get back in touch with you soon!
Have a great day!
Please note that your query will be processed only if we find it relevant. Rest all requests will be ignored. If you need help with the website, please login to your dashboard and connect to support